Home Makala Beki Ivory Coast Apata Gonjwa la Ajabu

Beki Ivory Coast Apata Gonjwa la Ajabu

by Sports Leo
0 comments

Mlinzi wa zamani wa Ivory Coast ‘Sol Bamba’ amepatikana na Non-Hodgkin lymphoma ambayo saratani inayoathiri mfumo wa Lymph – Lymphatic system (Mfumo wa kinga ni mkusanyiko wa viungo, seli na tishu maalumu ambazo zinafanya kazi pamoja ili kulinda mwili dhidi ya bakteria na virusi vimelea)

Ugonjwa huo humfanya achoke kila wakati, atapunguza uzito haraka na kuwa na maumivu mengi ya mgongo na uvimbe,Sol mwenye umri wa miaka 35 aliwahi kushiriki kwa Tembo hao wa Ivory kwenye Olimpiki ya Beijing 2008 na AFCON 2012 akiwa na mastaa mbalimbali wa enzi hizo Didier Drogba na wengineo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited