Home Makala Cavani Aibeba Man Utd

Cavani Aibeba Man Utd

by Dennis Msotwa
0 comments

Ilibaki kidogo tu Manchester United iadhirike ugenini baada ya kulazimika kusawazisha mbao mawili ya Southampton yaliyofungwa mapema kipindi cha kwanza na Jan Bednarek dakika ya 23 na James Ward-Prowse dakika ya 33 kwa faulo.

Bruno Fernandes alifunga bao la kwanza dakika ya 60 akipokea pasi ya Cavani kisha dakika ya 74 na 90+2 Edson Cavani alisawazisha na kuongeza bao la ushindi kwa mipira ya vichwa na kuwafnya United kuchukua alama tatu ugenini.

Ushindi huo umeifanya Man United kupaa mpaka nafasi ya nane kwenye msimamo wakiwa na alama 16 huku Tottenham akiwa kileleni na alama 21 lakini United wana mchezo mmoja mkononi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited