Uongozi wa Simba Sc umemtangaza mtendaji mkuu mpya wa klabu yao(CEO), Barbara Gonzalez ambaye atakuwa mrithi katika kiti cha Senzo Mbatha ambaye alijiuzulu na kuibukia Yanga Sc.
Mkurugenzi wa bodi ya wakurugenzi Simba Sc,Mohamed Dewji amesema kuwa makubaliano hayo yamefikiwa jana na viongozi kwenye kikao cha bodi ya wakurugenzi.
Gonzalez anakuwa CEO wa kwanza wa kike ndani ya Bongo kuitumikia klabu ya Simba Sc kwa msimu wa 2020/2021.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.