Home Makala CEO Wa Kike Atua Simba

CEO Wa Kike Atua Simba

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa Simba Sc umemtangaza  mtendaji mkuu mpya wa klabu yao(CEO), Barbara Gonzalez ambaye atakuwa mrithi katika kiti cha Senzo Mbatha ambaye alijiuzulu na kuibukia Yanga Sc.

Mkurugenzi wa bodi ya wakurugenzi Simba Sc,Mohamed Dewji amesema kuwa makubaliano hayo yamefikiwa jana na viongozi kwenye kikao cha bodi ya wakurugenzi.

Gonzalez anakuwa CEO wa kwanza wa kike ndani ya Bongo kuitumikia klabu ya Simba Sc kwa msimu wa 2020/2021.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited