Home Makala Chelsea Kumtoa Kepa Kwa Mkopo

Chelsea Kumtoa Kepa Kwa Mkopo

by Sports Leo
0 comments

Taarifa zinaeleza kuwa Chelsea ipo tayari kumtoa kipa wao namba moja, Kepa Arrizabalaga kwa mkopo baada ya kumpata mbadala wake ambaye ni Edouard Mendy kutoka klabu ya Rennes.

Inaelezwa kuwa sababu ya Lampard kutaka kumtoa kwa mkopo kipa huyo ni ili  aweze kuwa imara huko atakokwenda kwa kuwa hatakuwa na nafasi ndani ya kikosi cha Chelsea kwa wakati ujao.

Kocha huyo wa Chelsea amempa dili la miaka mitano Mendy kwa kiasi cha Euro milioni 22 na dili hilo lilikamilika jana Septemba 24.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited