Home Makala Chelsea Yawapa 4G Crystal Palace

Chelsea Yawapa 4G Crystal Palace

by Sports Leo
0 comments

Chelsea imewapa kichapo cha mabao 4-0 Crystal Palace katika mchuano wa ligi kuu Uingereza (EPL)uliochezwa uwanjani Stamford Bridge leo Octoba 3 ,2020.

Ben Chiwell ambaye ni sajili mpya ya Chelsea akitokea Leicester City kwa kima cha bilioni 6.3  alianza kupachika bao lake la kwanza dakika ya 50 huku bao la pili likipachikwa dakika ya 50 na Kurt Zouma.

Bao la tatu na la nne ambayo yanakamilisha 4g ya Chelsea yalipachikwa kimiani na nyota wao Jorginho kutokana na mpira wa adhabu dakika ya 78 na 82.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited