Home Makala Corona Yakatisha Ndoto Za Garcia

Corona Yakatisha Ndoto Za Garcia

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa timu ya vijana AtleticoPortada Alta ya Hispania ,Frorida Garcia amefariki kwa ugonjwa wa virusi vya Corona akiwa mwenye umri wa miaka 21.

Garcia alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya damu uliosababisha mwili wake kukosa uwezo wa kupambana na virusi vya Corona baada ya kupelekwa hospitalini.

Kocha huyo alikuwa mwathirika wa tano kati ya watu 300 walioupata ugonjwa huo katika mkoa wa Malanga nchini Hispania.

banner

Shughuli za soka nchini Hispania pamoja na Ligi ya La Liga tayari zimesimamishwa kwa nia ya kulinda wachezaji na kuzuia kuenea.

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited