Home Makala Corona Yamgusa Kipa United,Mil 755 Zamtoka

Corona Yamgusa Kipa United,Mil 755 Zamtoka

by Dennis Msotwa
0 comments

Kipa wa Manchester United ,David De Gea ametoa msaada wa pauni 270,000 sawa na tsh milioni 755 katika mji wa Madrid ili kusaidia mapambano dhidi ya virusi vya Corona.

Nyota huyo amesema pesa hiyo ameitoa ili iongeze mtaji wa Spania kusaidia kununua vifaa vya matibabu ya Corona na kusaidia familia zilizokutwa na waathirika wa virusi vya Corona.

Rais wa jamii ya Madrid ,Isabel Diaz Ayuso ametoa shukrani zake za dhati kwa kipa huyo kwa kuona jinsi gani walivyokuwa na uhitaji na ameshishiriki kwa nafasi kubwa kupambana dhidi ya gonjwa hilo hatari la Corona.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited