Home Makala Corona Yawapa Faida Spurs

Corona Yawapa Faida Spurs

by Dennis Msotwa
0 comments

Tottenham Hotspurs wamepata tiketi ya moja kwa moja kushiriki hatua ya 16 bora ya Carabao Cup baada ya mchuano wa raundi ya tatu uliowataka kukutana na LeytonOrient kufutiliwa mbali.

Hatua hiyo imechangiwa na tukio la idadi kubwa ya wanasoka wa Orient(wachezaji 17) kupata virusi vya Corona na kutiwa karantini.

Spurs watavaana na Chelsea kwenye hatua ya 16 bora ya Carabao Cup ,Septemba 29,2020 katika uwanja wa nyumbani wa Tottenham Hotspurs.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited