Tottenham Hotspurs wamepata tiketi ya moja kwa moja kushiriki hatua ya 16 bora ya Carabao Cup baada ya mchuano wa raundi ya tatu uliowataka kukutana na LeytonOrient kufutiliwa mbali.
Hatua hiyo imechangiwa na tukio la idadi kubwa ya wanasoka wa Orient(wachezaji 17) kupata virusi vya Corona na kutiwa karantini.
Spurs watavaana na Chelsea kwenye hatua ya 16 bora ya Carabao Cup ,Septemba 29,2020 katika uwanja wa nyumbani wa Tottenham Hotspurs.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.