Home Makala De Bruyne Kusepa Man City

De Bruyne Kusepa Man City

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa Manchester City ambaye pia ni raia wa Ubelgiji,Kelvin De Bruyne anaweza kusepa mda wowote ndani ya kikosi chake kama rufaa ya klabu hiyo ya kufungiwa miaka miwili kucheza michuano ya ulaya itatupiliwa mbali na Uefa.

Man City walifungwiwa kwa muda wa miaka miwili kutoshiriki michuano yoyote inayoandaliwa na Uefa kwa kosa la kuvunja sheria ya matumizi ya fedha (FFP) mwezi February.

Klabu hiyo inashika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ulaya ikiwa na pointi 57 katika michezo 28 aliyocheza akiachwa mchezo mmoja na Liverpool iliyo nafasi ya kwanza na pointi 82.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited