Home Makala Dortmund Waipiga 2-0 Wolfsburg

Dortmund Waipiga 2-0 Wolfsburg

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Borussia Dortmund imewapa kichapo cha mabao 2-0 klabu ya Wolfsburg huko ujerumani katika uwanja wa Volkswagen Arena siku ya leo ,timu zote mbili zikisimamiwa na refa Daniel Siebert kutoka nchini humo.

Bao la kwanza Dortmund lilifungwa dakika ya 32 na Raphael Guerreiro huku bao la pili lilipachikwa na Achraf Hakimi dakika ya 78.

Dortmund inashika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu Ujerumani(Bundasliga)ikiwa na pointi 57 katika mechi 27 alizocheza huku akiachwa nyuma kwa alama moja na Bayern wanaoshika nafasi ya kwanza katika mechi 26.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited