Home Makala Farid Aanza Kujinoa Leo Yanga

Farid Aanza Kujinoa Leo Yanga

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Farid Mussa ameanza mazoezi rasmi leo Agosti 19 na wachezaji wenzake kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na mechi nyingine za ushindani za msimu wa 2020/2021.

Farid amesaini kandarasi ya miaka miwili ndani ya Yanga Sc akitokea kwenye klabu ya CD Tennerife kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake.

Yanga ilianza mazoezi Agosti 10 mapema kabisa kwenye Uwanja wa Chuo cha Sheria na mchezo wao wa kwanza  ndani ya ligi kuu bara utakuwa dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa Mkapa, Septemba 6.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited