Home Makala Fei Toto,Mwamnyeto Kwenye Rada za Tp Mazembe

Fei Toto,Mwamnyeto Kwenye Rada za Tp Mazembe

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Tp mazembe imeanza kuwafatilia mastaa wawili wa klabu ya Yanga sc Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum ili kuwasajili kwa ajili ya msimu ujao.

Wachezaji hao ambao wamekua na uhakika wa namba katika klabu ya Yanga sc wamewashawishi matajiri hao kutoka Kongo na inadaiwa watatumia michezo miwili ya michuano ya kimataifa kufuzu Afcon 2021 dhidi ya Tunisia kuwaangalia zaidi.

Mwamnyeto alijiunga na Yanga sc msimu huu akitokea Coastal Union Fc kwa mkataba wa miaka miwili huku Feisal akiwa bado na mkataba mrefu wa miaka minne na timu hiyo ya Jangwani Kariakoo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited