Home Makala Foden kuikosa fainali Euro 2020

Foden kuikosa fainali Euro 2020

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji kinda wa timu ya taifa ya England Phil Foden huenda akauokosa mchezo wa fainali wa michuano ya Euro 2020 kutokana na maumivu ya mguu. Foden alianza katika michezo miwili ya awali ya hatua ya makundi kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na Bukayo Saka katika michezo iliyofuata.

Kocha wa England Southgate amesema”Phil amepata majeraha kidogo hivyo tuna wasiwasi kama atahusika na mchezo wa fainali”.

England itamenyana na Itali katika fainali ya michuano ya Euro 2020 Julai 11 itakayofanyika katika dimba la Wembley London nchini England.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited