Home Makala Fraga Nje Kwa Wiki 3-4

Fraga Nje Kwa Wiki 3-4

by Sports Leo
0 comments

Kiungo mkabaji wa Simba Sc, Gerson Fraga atakuwa nje kwa wiki tatu hadi nne baada ya kupata majeraha ya goti siku ya Jumapili ilipocheza na Biashara United.

Taarifa hiyo imethibitishwa na mkuu wa idara ya mawasiliano wa Simba Sc,Haji Manara alipotembelea kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) leo.

Manara amesema kuwa Fraga hatafanyiwa upasuaji bali atatibiwa kawaida na baada ya mwezi anatarajiwa kurudi uwanjani hivyo ataikosa pia mechi ya watani wa jadi itakayochezwa Oktoba 18,uwanja wa Benjamini Mkapa,Dar-es-salaam.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited