Pichani inayosambaa ikiwaonyesha Wachezaji wa timu ya taifa ya Gabon walivyolala usiku kwenye Uwanja wa Ndege huko Gambia, saa chache kabla ya mchezo wao wa leo wa kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika.
Kwa mujibu wa nahodha wa Gabon Aubameyang amesema serikali ya Gambia imewashikilia na kuwapokonya passport zao bila sababu zozote za msingi na kuwatelekeza uwanjani hapo ikidai hawaruhusiwa kwenda hotelini kwa kuwa hawajapima virusi vya Corona.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Hata hivyo taarifa zinadai Hii inaonekana ilifanywa kulipiza kisasi kwa kile Gambia ilichokitaja kama matibabu sawa na kile walichofanyiwa huko Libreville walipokwenda kwa ajili ya mchezo wa awali.