Home Makala Hakuna tena viporo ligi kuu Bara

Hakuna tena viporo ligi kuu Bara

by Sports Leo
0 comments

Bodi ya ligi kuu ya Tanzania imetangaza kuwa vilabu vyote vinavyoshiriki ligi hiyo vimekubaliana kwa pamoja kuwa hakutakuwa na mechi itakayokuwa inachezwa pindi wawakilishi wa nchi katika mashindano  mbalimbali ya kimataifa watakapokuwa wanacheza,hivyo ligi itakuwa inasimama kila kipindi hicho kikifika.

Hatua imekuja kuondoa tatizo la wingi wa mechi za viporo pindi timu za ndani zinapokuwa zinashiriki michuano mbalimbali ya CAF.

Mtendaji mkuu wa bodi ya ligi amesema kuwa wamefanya hivyo ili kumaliza changamoto ya mechi za viporo,hivyo hatua hiyo itaondoa kabisa na hakutakuwa tena viporo kwenye ligi hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited