Home Makala Hatimaye Samatta Kusajiliwa England

Hatimaye Samatta Kusajiliwa England

by Dennis Msotwa
0 comments

Mchezaji maarufu wa timu ya taifa ya Tanzania  Mbwana Samatta amesadikika kutua nchini England katika timu inayoshiriki ligi kuu Norwich City.

Timu hiyo i mefikia ofa ya pauni milioni 11 ambayo ni sawa na tsh bilioni 33 huku ikiwa thamani ya mchezaji huyo ni pauni milioni 10 sawa na tsh bilioni 30.

Licha ya mitandao ya nchini England kumuweka kama mchezaji wao na hata kutuma picha yake kwenye mitandao ya kijamii jana bado imeibuka vita kubwa nchini humo baina ya vilabu mbalimbali kumuwania mshambuliaji huyo.

banner

Vita hii ni kutoka kwa Norwich City, West Ham United na Aston Villa ambavyo imesemekana kuwania saini ya mchezaji huyo na kutaka pia kumuweka upande wao.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited