Home Makala Offside Zamuibua Mwakyembe

Offside Zamuibua Mwakyembe

by Sports Leo
0 comments

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe kupitia jamhuri ya muungano wa Tanzania ameliagiza Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kufuatilia kwa karibu malalamiko yote yanayotolewa na wadau wa soka mara kwa mara katika Ligi Kuu na ligi nyingine
Dk Mwakyembe ameliagiza Baraza hilo kutoa mrejesho wa agizo hilo ndani ya siku tatu
“Wizara inaendelea kupokea tuhuma mbalimbali za uonevu katika mashindano ya Ligi mbalimbali za mpira wa miguu yanayoendelea nchini lakini wadau hawaoni hatua zikichukuliwa mara moja na kupatiwa mrejesho” alisema dkt.Mwakyembe

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited