Home Makala Hatujakata Tamaa-Lamine

Hatujakata Tamaa-Lamine

by Dennis Msotwa
0 comments

Beki na nahodha wa Yanga Lamine Moro amesema hawajakata tamaa na ubingwa, Moro amesema wachezaji wote wa Yanga mawazo yao yapo kwenye ubingwa
“Wanaodhani kuwa sisi tumekata tamaa na ubingwa, wanakosea sana kwa sababu wachezaji wote hapa mawazo yapo kwenye ubingwa”
“Nimekuwa nikiona huko mitandaoni watu wakizungumza vibaya kuhusu timu na wanafikiri sisi tumekata tamaa, niwaambie kwenye maisha hakuna kukata tamaa, tutapambana hadi mwisho kuwania ubingwa wa msimu”
“Tangu nimefika Tanzania sijawahi kuona mechi rahisi hasa kwa Yanga, ushindani huo umekuwa ukitufanya nasi tuzidi kuongeza juhudi ili kufikia malengo,” Alisema Moro

 

@Viwanjanileo

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited