Kocha Florent Ibenge ameachana na klabu ya As Vita ya nchini Congo baada ya kudumu kwa miaka tisa kama kocha mkuu klabuni hapo baada ya kuwa na msimu mibovu hivi karibuni,
Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo na kuthibitishwa na Rais Bestine Kazadi imesomeka kama ifuatavyo “ ndugu mashabiki, ninatangaza kuondoka kwa kocha wetu Jean-Florent. Kwa niaba ya klabu ya AS Vita, tunamshukuru kwa utumishi wake na tunamtakia kila la kheri.”
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.