Home Makala Ibenge Aondoka As Vita

Ibenge Aondoka As Vita

by Sports Leo
0 comments

Kocha Florent Ibenge ameachana na klabu ya As Vita ya nchini Congo baada ya kudumu kwa miaka tisa kama kocha mkuu klabuni hapo baada ya kuwa na msimu mibovu hivi karibuni,

Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo na kuthibitishwa na Rais Bestine Kazadi imesomeka kama ifuatavyo “ ndugu mashabiki, ninatangaza kuondoka kwa kocha wetu Jean-Florent. Kwa niaba ya klabu ya AS Vita, tunamshukuru kwa utumishi wake na tunamtakia kila la kheri.”

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited