Home Makala Ighalo Aipeleka United Robo Fainali FA

Ighalo Aipeleka United Robo Fainali FA

by Dennis Msotwa
0 comments

Mshambuliaji mpya wa Manchester United Idion Ighalo amepata furaha kubwa baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa FA dhidi ya Derby County uliomalizika kwa kufunga mabao 3-0.

Katika mchezo huo Ighalo alisema anafuraha kuwa kwenye klabu hiyo na wanafanya kazi nzuri kufikia malengo kwani aliweza kufunga mabao mawili na Luke Shawn alifunga bao moja.

Umoja waliokuwa nao unawapeleka Manchester United Robo Fainali ambapo watakutana na Norwich City katika uwanja wa Carrow japo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited