Mshambuliaji mpya wa Manchester United Idion Ighalo amepata furaha kubwa baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa FA dhidi ya Derby County uliomalizika kwa kufunga mabao 3-0.
Katika mchezo huo Ighalo alisema anafuraha kuwa kwenye klabu hiyo na wanafanya kazi nzuri kufikia malengo kwani aliweza kufunga mabao mawili na Luke Shawn alifunga bao moja.
Umoja waliokuwa nao unawapeleka Manchester United Robo Fainali ambapo watakutana na Norwich City katika uwanja wa Carrow japo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.