Home Makala James Kotei Kutua Yanga.

James Kotei Kutua Yanga.

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa kiungo fundi wa zamani wa timu ya Simba Sc ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Kaizer Chiefs James Kotei anatarajia kutua Yanga kwa mkopo.

Yanga ilikuwa na mpango  wa kumnasa kiungo mkabaji kutoka Zesco Utd Anthony Akum raia wa Kenya kumbe Kaizer Chiefs nao walikuwa na mpango wa kumnasa mchezaji huyo.

Kutokana na ukaribu walionao Yanga na Kaizer wamefanya kubadilishana James Kotei atue Jangwani na Akum aende Kaizer Chief.

banner

Taarifa zaidi zinadai dili hilo linaweza kukamilika kabla ya dirisha la usajili kufungwa siku ya jumatano wiki ijayo.

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited