Home Makala Jesse Were Anukia Yanga sc

Jesse Were Anukia Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Imeripotiwa kwamba klabu ya Yanga sc ipo mbioni kumsajili Jesse Were kutoka Zesco United ya nchini Zambia baada ya kumkosa msimu uliopita kutokana na kuwa na mkataba mrefu na klabu yake.

Jesse raia wa Kenya anayekipiga nchini Zambia ni mshambuliaji anayejua kufunga na anatarajiwa kumaliza tatizo la ushambuliaji klabu klabuni hapo ili kuwapa raha mashabiki wa Jagwani.Mazungumzo ya kumsajili staa huyo yameshaanza huku ikisubiriwa dirisha la usajili kufunguliwa kukamilisha dili hilo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited