Imeripotiwa kwamba klabu ya Yanga sc ipo mbioni kumsajili Jesse Were kutoka Zesco United ya nchini Zambia baada ya kumkosa msimu uliopita kutokana na kuwa na mkataba mrefu na klabu yake.
Jesse raia wa Kenya anayekipiga nchini Zambia ni mshambuliaji anayejua kufunga na anatarajiwa kumaliza tatizo la ushambuliaji klabu klabuni hapo ili kuwapa raha mashabiki wa Jagwani.Mazungumzo ya kumsajili staa huyo yameshaanza huku ikisubiriwa dirisha la usajili kufunguliwa kukamilisha dili hilo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.