Home Makala Joao Felix Amfunika Sancho

Joao Felix Amfunika Sancho

by Dennis Msotwa
0 comments

Kinda wa klabu ya Atletico Madrid Joao Felix ametwaa tuzo ya mchezaji bora kwa wenye umri chini ya miaka 21 barani ulaya(Golden boy) akiwashinda mastaa kibao akiwemo Jadon Sancho wa Borrusia Dortmund.

Felix aliyeifungia mabao 18 timu ya Benfica msimu uliopita kabla ya kuhamia Atletico Madrid msimu katika majira ya joto kwa dau la paundi 113 milioni.

Nafasi ya pili ilichukuliwa na Sancho huku ya tatu ikienda kwa kinda wa kijerumani Kai Haver anayeichezea Bayern Leverkusen.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited