Rais wa shirikisho la soka nchini Wallace Karia amelalamika kuhusu ubora na ufanisi wa waamuzi katika mechi za ligi kuu nchini hususani zile zinazoihusisha Simba sc na Yanga sc kuwa na maamuzi tata yanayoleta maswali na migogoro kwa wadau wa soka nchini.
Karia amesema hayo wakati wa kufunga semina ya waamuzi wa ligi kuu iliyoandaliwa na shirikisho la soka nchini iliyofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam na kuhuduriwa na idadi kubwa ya waamuzi wa ligi kuu nchini.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.

