128
Mtanzania Mbwana Samatta ambaye ni mshambuliaji wa Aston Villa ya nchini Uingereza na kinara katika timu ya Taifa (Taifastars) ya Tanzania, anatarajia kutua nchini wiki hii baada ya ligi ya nchini humo kufikia tamati mwishoni mwa wiki iliyopita.
Samatta ambaye timu yake ya Aston Villa imenusurika kushuka daraja msimu huu, imemaliza katika nafasi ya 17 ya msimamo wa Premier League ikiwa na pointi 34.
Villa imeshinda michezo tisa huku ikitoa sare kwenye michezo saba na kupoteza michezo 21 ndani ya premier League.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.