Home Makala Khleffin Hamdoun kumkosa Simba leo.

Khleffin Hamdoun kumkosa Simba leo.

by Dennis Msotwa
0 comments

Jembe jipya aliyesajiliwa ndani ya Azam Fc kwa muda wa miaka 4 amekosa kushiriki mechi ya nusu fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya Simba inayochezwa uwanja wa Gombani nchini Zanzibar.

Kwa mujibu wa kanuni Arstica Cioaba ameshindwa kumtumia Khleffin Hamdoun dhidi ya Simba licha ya kuvutiwa na uwezo wake kwa upande wa ushambuliaji.

“Ni kweli Cioaba anamkubali Khleffin hamdoun ila hataweza kumtumia dhidi ya Simba kwani alishacheza Mlandege na timu yake kutolewa , hivyo atatumika kwa michezo ijayo” alisema mtendaji mkuu wa Azam Fc Abdulkarim Amin “popat”.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited