Home Makala Kikosi Cha Taifa Stars Chan Chatajwa

Kikosi Cha Taifa Stars Chan Chatajwa

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoingia kambini Januari Mosi,2021 kwa ajili ya mashindano ya Chan 2021 na mechi mbili za kirafiki hiki hapa:-

Aishi Manula wa Simba

Juma Kaseja wa KMC

banner

Dan Mgore wa Biashara United

Abdutwalib Mshery wa Mtibwa Sugar

Shomari Kapombe wa Simba

Israel Mwenda wa KMC

Edward Manyama wa Namungo

Yassin Mustapha wa Yanga

Bakari Mwamnyeto wa Yanga

Agrey Morris wa Azam FC

Erasto Nyoni wa Simba

Carlos Protos wa Namungo

Said Ndemla wa Simba

Baraka Majogoro wa Mtibwa Sugar

Yusuph Mhilu wa Kagera Sugar

Ayoub Lyanga wa Azam

Feisal Salum wa Yanga

Rajab Athuman wa Gwambina

Ditram Nchimbi wa Yanga

John Bocco ni Simba

Deus Kaseke yeye Yanga

Lucas Kikoti wa Namungo

Farid Mussa wa Yanga

Adam Adam wa JKT Tanzania

Dickson Job wa Mtibwa Sugar

Abdulrazack Hamza wa Mbeya City U 20

Khelfinnie Salum wa U 20 Azam FC

Samwel Jackson wa U 20 Ihefu

Omari Omari wa u 17

Paschal Gaundence wa U 20 Azam FC

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited