Home Makala Kisa Corona ,Young Ahofia Kunyoa Nywele

Kisa Corona ,Young Ahofia Kunyoa Nywele

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa zamani wa Manchester United ambaye pia anaweza kucheza kama beki wa pembeni,Ashley Young juzi alionekana akiwa na muonekano wa tofauti baada ya kuacha nyele zake kutokana na kuwa ameshindwa kwenda saluni kwa kuhofia kuambukizwa Corona

 

Winga huyo ambaye kwa sasa anaichezea Inter Milan alijiunga na timu hiyo kwenye usajili wa January alionekana akiwa tofauti na hali aliyokuwa nayo kwa kipindi kirefu akiwa na Man United kwa kuwa kila mara alionekana akiwa na upara.

 

Siku ya Jumatatu Inter Milan walianza mazoezi yao na Young alionekana kuwa tofauti na jinsi alivyokuwa awali kwa kuwa aliacha nywele zake zikiwa zimekuwa sana.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited