Home Makala Kisa Lampard,Kai Havertz Asaini Chelsea

Kisa Lampard,Kai Havertz Asaini Chelsea

by Sports Leo
0 comments

Kai Havertz ambaye ni kiungo mpya wa Chelsea ameeleza sababu kubwa iliyomfanya asaini ndani ya klabu hiyo ni kutokana na kuvutiwa na kocha mkuu wa timu hiyo, Frank Lampard kwani anampenda na anamfuatilia sana kocha huyo.

Harvest amesaini dili la miaka mitano ndani ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu England akitokea Bayer Leverkusen inayoshiriki Bundesliga kwa dau la thamani ya pauni 72 milioni.

Nyota huyo anatimiza idadi ya wachezaji sita ambao tayari wameshamalizana na Chelsea ikiwa ni pamoja na Timo Werner, Hakimi Ziyech,Malang Sarr,Thiago Silva na Ben Chilwell.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited