Home Makala Kisa Uefa, Mastaa Huenda Wakasepa

Kisa Uefa, Mastaa Huenda Wakasepa

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa wakidachi ,Memphis Depay ameripotiwa anaweza kuhama Olympique Lyon baada ya timu hiyo kushindwa kufuzu michuano ya Ulaya kutokana na msimu wa Ligue 1 kusitishwa na bingwa kutangazwa PSG .

Lyon iliyokuwa nafasi ya 7 imeshindwa kupata tiketi ya kucheza michuano ya Ulaya kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 23 baada ya ligi hiyo kuhitimishwa mapema kutokana na janga la Covid-19 na sasa wametishia kwenda mahakamani.

Hata hivyo mmiliki wa klabu hiyo, Jean-Michel Aulas tayari ameibua wasiwasi wake huenda wakapoteza wachezaji wao mastaa akiwamo Depay kama hawatawapa nafasi ya kucheza soka la Ulaya .

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited