Home Makala Kmc Yaimaliza Namungo Fc

Kmc Yaimaliza Namungo Fc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manispaa ya Kinondoni (Kmc) imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo Fc katika mchezo wa ligi kuu nchini uliofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Usajili wa Matheo Anthony uliofanyika katika dirisha dogo lililofungwa januari 15 umewalipa Kmc baada ya mshambuliaji huyo kufunga bao la kwanza dakika ya tisa huku pia wakifaidika na usajili wa Charles Ilanfya kwa mkopo kutoka Simba sc aliyefunga pia katika mchezo huo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited