Schalke Fc imemfungashia virago kocha wao David Wagner kufuatia kipondo cha 3-1 dhidi ya Werder Bremen jana Jumamosi ligi kuu Bundesliga.
Mabao matatu ya ushindi ya Werder Bremen yapipachikwa na Niclas Fullkrung katika dakika ya 22′ 37 na lile la tata alilipachika kipindi cha pili cha mchezo kwa mkwaju wa penalti dakika ya 59.
Bao la kufutia machozi la Schalke lilipatikana dakika ya 90+3 kupitia kwa Mark Uth,huku Mohammed Kabak akipokea kadi nyekundu dakika ya 84.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.