Home Makala Kocha Schalke Afungashiwa Virago

Kocha Schalke Afungashiwa Virago

by Sports Leo
0 comments

Schalke Fc imemfungashia virago kocha wao David Wagner kufuatia kipondo cha 3-1 dhidi ya Werder Bremen jana Jumamosi ligi kuu Bundesliga.

Mabao matatu ya ushindi ya Werder Bremen yapipachikwa na Niclas Fullkrung katika dakika ya 22′ 37 na lile la tata alilipachika kipindi cha pili cha mchezo kwa mkwaju wa penalti dakika ya 59.

Bao la kufutia machozi la Schalke lilipatikana dakika ya 90+3 kupitia kwa Mark Uth,huku Mohammed Kabak akipokea kadi nyekundu dakika ya 84.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited