Serikali ya Uingereza imebainisha kuwa matukio yote ya kimichezo nchini humo imeruhusiwa kurejea ifikapo mapema mwezi June, ila pasipo kuwa na watazamaji(mashabaki).
Mashabiki nchini humo wamearifiwa kuwa wataanza kuingia viwanjani endapo tu chanjo ya virusi vya Corona itapatikana .
Wakati huo huo mwenyekiti wa FA, Greg Clarke ameviambia vilabu vya Ligi kuu Uingereza kuwa kushushwa daraja kupo pale pale na msimu lazima umalizike kwa kuchezwa.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.