Home Makala Lipangile Awafunika Dilunga,Wadada

Lipangile Awafunika Dilunga,Wadada

by Dennis Msotwa
0 comments

Straika wa klabu ya Kmc Sadala Lipangile ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi january kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirikisho la soka nchini(Tff).

Staa huyo ameshinda tuzo hiyo akiwabwaga Hassan Dilunga wa Simba sc na Nicolaus Wadada wa Azam fc huku kocha wa Simba Sven Vandenbroeck na Malale Hamsini wa Polisi Tanzania wakibwagwa na kocha wa Azam fc Aristica Cioaba.

Lipangile atajinyakulia kiasi cha shilingi Milioni moja pamoja na king’amuzi cha Azam Tv.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited