Home Makala Lipuli Fc Wachomoa Mchezaji Simba

Lipuli Fc Wachomoa Mchezaji Simba

by Sports Leo
0 comments

Deogratius Munishl ‘Dida’ambae alikuwa mlinda mlango na mchezaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga amekuwa miongoni mwa wachezaji tisa waliosajiliwa kwenye msimu huu wa usajili wa dirisha dogo ndani ya Lipuli Fc.

Simba Sc ilimtema ‘Dida’ mwanzoni mwa msimu huu na hivyo Lipuli ikaamua kumsajili kama mchezaji huru kwa lengo la kuimarisha eneo la ulinzi wa lango lao.

Lipuli pia iliwatema wachezaji wanne ikiwa ni Rajabu Mpululo, Derick Karulika, Waziri Tajiri na Shaban Kimaro.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited