Home Makala Liva Yamtuliza Mourinho

Liva Yamtuliza Mourinho

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Liverpool imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tottenham ya Jose Mourinho katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliofanyika katika uwanja wa Anfield jijini Liverpool.

Mabao ya awali ya Mo salah dakika ya 26 lilisawazisha na Son Heung Min dakika ya 33 lakini Roberto Firmino aliamua mwisho wa mchezo baada ya kufunga bao dakika ya 90 na kuipa alama tatu Liverpool.

Liva sasa imekaa kileleni mwa msimamo na alama 28 huku Tottenham wakiwa katika nafasi ya pili na alama 25 wakiwa wamecheza michezo 13.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited