Timu ya Liverpool imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tottenham ya Jose Mourinho katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliofanyika katika uwanja wa Anfield jijini Liverpool.
Mabao ya awali ya Mo salah dakika ya 26 lilisawazisha na Son Heung Min dakika ya 33 lakini Roberto Firmino aliamua mwisho wa mchezo baada ya kufunga bao dakika ya 90 na kuipa alama tatu Liverpool.
Liva sasa imekaa kileleni mwa msimamo na alama 28 huku Tottenham wakiwa katika nafasi ya pili na alama 25 wakiwa wamecheza michezo 13.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.