Kiungo Muittaliano Manuel Locatelli amejiunga na klabu ya soka ya Juventus akitokea Sassuolo kwa ada ya euro milioni 40 akisaini mkataba wa miaka mitano hadi 2026.
Locatelli alishinda kombe la Ulaya akiwa wa timu ya taifa ya Italia katika michuano ya Euro 2020 akifanya vizuri akiwa na kikosi hicho kwa kufunga magoli matatu.
Mchezaji huyo alikuwa akihusishwa na klabu ya Arsenal lakini alichagua muda mrefu kujiunga na Juventus.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.