Home Makala Mabingwa Watetezi Azam Fc Kutinga Robo Fainali Kwa Penalti

Mabingwa Watetezi Azam Fc Kutinga Robo Fainali Kwa Penalti

by Dennis Msotwa
0 comments

Mchezo uliochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya umewapa ushindi mkubwa Azam Fc kutinga robo fainali kwa ushindi wa penalti 5-4 mbele ya Ihefa Fc ya Mbeya.

Mabingwa hao watetezi wa kombe la shirikisho walitoshana nguvu na Ihefa Fc katika dakika 90 za mchezo na kulazimisha suluhu iliyowapelekea kupiga penalti.

Azama Fc ni mabingwa watetezi tangu walipo litwaa kombe la shirikisho baada ya kushinda fainali dhidi ya Lipuli Fc kwa ushindi wa bao 1-0.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited