Home Makala Mahadhi Atua Ihefu

Mahadhi Atua Ihefu

by Sports Leo
0 comments

Klab ya Ihefu Sc kutoka Mbeya imekamilisha usajili wa winga wa Yanga sc Juma Mahadhi kwa mkataba wa mkopo wa nusu Msimu ambapo mkataba huo utaisha mwishoni mwa msimu huu wa ligi kuu inayoendelea.

Mahadhi bado ana mkataba na Yanga sc lakini majeraha ya muda mrefu ndiyo yaliyosababisha kiwango cha nyota huyo aliyesajiliwa kutokea Coastal union miaka minne iliyopita kutokua na uhakika wa namba kikosini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited