Home Makala Man United Wanaamini kwa Cavani

Man United Wanaamini kwa Cavani

by Sports Leo
0 comments

Manchester United wamekuwa na imani kubwa baada ya kumsajili fowadi wa zamani wa PSG,Edinson Cavani bila ada yoyote siku ya jana kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

Cavani aliyeondoka mwishoni Juni ndani ya PSG baada ya kandarasi yake kumalizika alitia saini ya mkataba mmoja kambini United Octoba 5,2020.

Kutua kwa Cavani ndani ya Old Trafford kunampa imani kocha mkuu wa klabu hiyo,Ole Gunnar Solskajaer kuwa ataimarishasafu ya mbele ya Man-United ambayo imekuwa ikiongozwa na washambuliaji chipukizi,Marcus Rashford,Antony Martial na Mason Green.

banner

Mchuano wake wa kwanza kambini mwa United huwenda ukamkutanisha na waajili wake PSG katika uwanja wa Parc de Princes,Ufaransa

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited