Home Makala Man Utd Yakomaa na Epl

Man Utd Yakomaa na Epl

by Sports Leo
0 comments

Licha ya kuanza msimu kwa kusuasua klabu ya Manchester United jana ilipanda mpaka nafasi ya pili ya msimamo wa ligi kuu nchini Uingereza Epl baada ya kuifunga Wolves bao 1-0.

United chini ya Solskjaer imekua na mwendo wa kusuasua lakini imekua ikipata matokeo. ambayo yameifanya ifikishe alama 30 dhidi ya 32 za Liverpool huku wote wakiwa wamecheza michezo 15.

Marcus Rashford alihakikisha ushindi kwa Man utd dakika ya mwisho ya nyongeza 90+3 baada ya mpira kumgonga beki na kubadili mwelekeo na kumuacha kipa Rui Patricio hana la kufanya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited