Home Makala Mashabiki Wamgomea Kiduku

Mashabiki Wamgomea Kiduku

by Sports Leo
0 comments

Mashabiki wa ngumi waliokuwapo ukumbi wa Next Door Masaki wamegomea bondia Twaha Kiduku kurudiana na Dulla Mbabe kabla hajapigana na Hassan Mwakinyo.

Hiyo ni baada ya Dulla Mbabe kuomba pambano la marudiano hii leo baada ya ushindi wake wa KO lakini mashabiki wa Twaha wamesema wanamtaka kwanza Mwakinyo.

Kwa upande wa bondia Hassan Mwakinyo mara kadhaa amekataa kucheza na bondia huyo akisisitiza kuwa sio saizi yake.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited