Home Makala Mastaa 23 wa Stars Kutua Nairobi

Mastaa 23 wa Stars Kutua Nairobi

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha wachezaji 23 wa timu ya Taifa ya Tanzania 🇹🇿 kitakachosafiri siku ya kesho kuelekea Kenya kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki na nchi hiyo Machi 15 na 18 kabla ya kurejea kwenye mechi za Kufuzu Afcon dhidi ya Equatorial Guinea pamoja na Libya

1. Juma Kaseja
2. Metacha Mnata
3. Kelvin Yondani
4. Nickson Kibabage
5. Israel Mwenda
6. Yassin Mustapha
7. Dickson Job
8. Hassan Kessy
9. Edward Manyama
10. Salum Abubakar
11. Ayoub Lyanga
12. Farid Mussa
13. Kelvin John
14. Deus Kaseke
15. Idd Seleman
16. Feisal Salum
17. Baraka Majogoro
18. Bakari Mwamnyeto
19. Meshack Abraham
20. Laurent Alfred
21. Nassor Saadun
22. Abdul Seleman
23. Himid Mao

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited