Play offs ya kwanza ya siku ya leo July 29,imewapa Ihefa ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Mbao FC ya Felix Minziro wakiwa uwanja wa ugenini wa Highland Estates.
Bao la kwanza Ihefa Fc lilifungwa dakika ya nne ya kipindi cha kwanza cha mchezo na Steven Mwaijala kwa mkwaju wa penalti.
Mridi Tangai alipachika bao la pili baada ya mapumziko dakika ya 84 ,bao lililodumu hadi mchezo ulipokamilika na kuifanya timu hiyo kuondoka na ushindi wa mabao 2-0.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.