Home Makala Mbao Fc Wapigwa 2-0 Na Ihefa Fc

Mbao Fc Wapigwa 2-0 Na Ihefa Fc

by Sports Leo
0 comments

Play offs ya kwanza ya siku ya leo July 29,imewapa Ihefa ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Mbao FC ya Felix Minziro wakiwa uwanja wa ugenini wa Highland Estates.

Bao la kwanza Ihefa Fc lilifungwa dakika ya nne ya kipindi cha kwanza cha mchezo na Steven Mwaijala kwa mkwaju wa penalti.

Mridi Tangai alipachika bao la pili baada ya mapumziko dakika ya 84 ,bao lililodumu hadi mchezo ulipokamilika na kuifanya timu hiyo kuondoka na ushindi wa mabao 2-0.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited