Home Makala Mchezaji Huyu Agoma Kusepa Barcelona

Mchezaji Huyu Agoma Kusepa Barcelona

by Sports Leo
0 comments

Beki anayekipiga ndani ya klabu ya Barcelona,Samuel Umtiti amesema kuwa hana mpango wa kutimka ndani ya kikosi hicho kwani bado anafurahia maisha yake ndani ya kikosi hicho.

Winga huyo mwenye miaka 26 mkataba wake unameguka msimu wa 2025 ambapo alikuwa anatajwa huenda akasepa.

Klabu ambazo zilikuwa zinatajwa kuiwinda saini ya nyota huyo wa Barcelona ni Chelsea ,Tottenham Hotspurs na Manchester United.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited