Home Makala Mechi 10 Atakazocheza Samatta ,Aston Villa

Mechi 10 Atakazocheza Samatta ,Aston Villa

by Sports Leo
0 comments

Aston Villa wamefanikiwa kumsajili Mbwana Samatta kwa mkataba wa miaka minne na nusu ambapo ataitumikia klabu hiyo hadi mwezi Juni 2024 kwa ada ya pauni milioni 8.5

Mbwana Samatta atakuwa na kibarua kuelekea kampeni ya ligi kuu na michuano mingine kuanzia wikiendi hii ambapo katika mechi 10 za kwanza Aston Villa itacheza na Watford (H), Leicester City (H), Bournemouth (A), Tottenham Hotspurs (H), Southampton (A), Sheffield United (H), Chelsea (H), Newcastle United (A), Wolverhampton (A), Liverpool (A).

Aston Villa inakamata nafasi ya 18 katika msimamo wa ligi kuu nchini Uingereza, ikiwa imeshinda mechi sita, imefungwa mechi 13 na imetoka sare mechi nne.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited