Home Makala Meneja Everton Aweka Rekodi Ligi Kuu England

Meneja Everton Aweka Rekodi Ligi Kuu England

by Sports Leo
0 comments

Carlo Ancelotti amekuwa meneja wa kwanza kuonyeshwa kadi nyekundu katika ligi kuu England msimu huu kwenye mchezo uliowakutanisha Everton dhidi ya Man UTD kwenye uwanja wa Goodson Park siku chache nyuma.

Meneja huyo wa Everton akitokea Italia alipewa adhabu hiyo na mwamuzi wa mchezo Chris Kavanagh kwa kosa la kupinga maamuzi ya kukataliwa kwa bao lililofungwa na Dominic Calvert Lewin dakika za lala salama kabla ya kubainika lilikuwa offside .

Everton inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi kuu England ikiwa na pointi 37 katika mechi 28 alizocheza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited