Home Makala Morrison Apaa Kuifuata Kaizer Chiefs

Morrison Apaa Kuifuata Kaizer Chiefs

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa klabu ya Simba sc Benard Morrison ameungana na timu hiyo nchini Afrika ya kusini baada ya kufanikiwa kusafiri leo kuelekea mchezo wa timu hiyo dhidi ya Kaizer Chiefs utakaofanyika siku ya Jumamosi.

Awali kikosi cha timu hiyo kilisafiri jana kuelekea nchini humo ambapo staa huyo hakusafiri kutokana na sababu zilizoelezwa na meneja wa klabu hiyo Rweyemamu kuwa ni sababu binafsi.

Lakini hivi leo mchezaji huyo ameposti picha katika mitandao yake ya kijamii akiwa uwanja wa ndege akielekea nchini humo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited