Home Makala Msola,Babra Waalikwa Afcon

Msola,Babra Waalikwa Afcon

by Sports Leo
0 comments

Viongozi wa vilabu vya Simba sc na Yanga sc Dk.Mshindo Msola na Babra Fenarndes wamealikwa kuhudhuria fainali ya kombe la mataifa ya Afrika(Afcon 21) zinzofanyika nchini Cameroon siku ya jumapili zikiwakutanisha Senegal na Misri.

Fainali hizo zimepelekea shirikisho la soka barani Afrika(Caf) kualika watu mbalimbali mashuhuri kuhudhuria wakiwemo viongozi hao wa vilabu vikubwa hapa nchini.

Fainali za Afcon zitachezwa siku ya Jumapili ambapo wenyeji Cameroon wametolewa na Misri ambao wameingia Fainali huku Senegal wakiwatoa Burkina Faso.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited